Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Julai uku. 4
  • Matendo ya Ezra Yalimletea Yehova Heshima

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Matendo ya Ezra Yalimletea Yehova Heshima
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Kitabu Cha Biblia Namba 15—Ezra
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Ezra Alifundisha Sheria ya Mungu
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Je, Unafundisha kwa Matokeo?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ezra
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Julai uku. 4

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Matendo ya Ezra Yalimletea Yehova Heshima

Ezra aliruhusu Neno la Mungu liguse moyo wake na kuongoza matendo yake (Ezr 7:10; w00 10/1 14 ¶8)

Watu walitambua kwamba Ezra alikuwa na hekima kutoka kwa Mungu (Ezr 7:25; si 75 ¶5)

Kwa sababu Ezra alijinyenyekeza mbele za Mungu alikuwa na uhakika kwamba Yehova angemwongoza na kumlinda (Ezr 8:21-23; it-1 1158 ¶4)

Mwajiri akimpongeza ndugu kwa kazi nzuri aliyofanya ya kurekebisha magari.

Kwa kuwa Ezra alitenda kwa hekima iliyotoka kwa Mungu, mfalme alichochewa kumkabidhi majukumu mazito. Kama Ezra alivyofanya, sisi pia tunaweza kumletea Yehova heshima kupitia matendo yetu.

JIULIZE, ‘Je, watu ambao si waamini wananiheshimu kwa sababu ya matendo yangu yanayomletea Mungu heshima?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki