Novemba 6-12
AYUBU 13-14
Wimbo 151 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Mtu Akifa, Je, Anaweza Kuishi Tena?”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ayu 13:1-28 (th somo la 12)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video Ziara ya Kwanza: Biblia—2Ti 3:16, 17. Simamisha video kila mara kunapokuwa na kituo, kisha uwaulize wasikilizaji maswali yanayojitokeza kwenye video.
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa broshua Furahia Maisha Milele! (th somo la 2)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff mambo makuu ya sehemu ya 1 maswali ya 1-5 (th somo la 19)
MAISHA YA MKRISTO
“Weka Kando Kitu Fulani”: (Dak. 15) Mazungumzo na video. Ishughulikiwe na mzee. Pongeza kutaniko kwa kuweka kando pesa za kuunga mkono masilahi ya Ufalme.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) bt sura ya 1 ¶16-21
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 76 na Sala