Novemba 27–Desemba 3
AYUBU 20-21
Wimbo 38 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Uadilifu Haupimwi kwa Utajiri”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Ayu 20:2—Wazee wanaweza kuwasaidiaje wanaokabiliana na ‘mawazo yanayowafadhaisha’? (w95 1/1 9 ¶19)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Ayu 20:1-22 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 2) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 1)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa broshua Furahia Maisha Milele! na uanzishe funzo la Biblia. (th somo la 6)
Hotuba: (Dak. 5) g 5/09 12-13—Kichwa: Je, Mungu Anataka Uwe Tajiri? (th somo la 17)
MAISHA YA MKRISTO
“‘Ridhika na Vitu vya Sasa’”: (Dak 15) Mazungumzo na video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) bt sura ya 2 ¶16-23
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 103 na Sala