Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Novemba uku. 6
  • Uadilifu Haupimwi kwa Utajiri

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uadilifu Haupimwi kwa Utajiri
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Kitabu Cha Biblia Namba 18—Yobu
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Ayubu—Kielelezo cha Mwenendo wa Utawa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Ukamilifu wa Ayubu—Kwa Sababu Gani Unastaajabisha Sana?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
  • Yehova Anafurahi Tunaposali kwa Ajili ya Wengine
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Novemba uku. 6

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Uadilifu Haupimwi kwa Utajiri

Sofari alisisitiza kwamba Mungu huwanyang’anya waovu utajiri, akidai kwamba lazima Ayubu awe alitenda dhambi (Ayu 20:​5, 10, 15)

Ayubu alijibu: ‘Basi kwa nini waovu wanapata mafanikio?’ (Ayu 21:​7-9)

Mfano wa Yesu unathibitisha kwamba huenda watu waadilifu wasiwe na mali za kimwili (Lu 9:58)

Ndugu akisomea familia andiko nje ya nyumba yao. Baba anafuatilia katika Biblia yake huku mama na mwana wao mdogo wakisikiliza kwa makini.

JAMBO LA KUTAFAKARI: Mtu mwadilifu hutanguliza nini, iwe yeye ni tajiri au maskini?—Lu 12:21; w07 8/1 29 ¶12.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki