Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb24 Januari kur. 12-13
  • Februari 19-25

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Februari 19-25
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
mwb24 Januari kur. 12-13

FEBRUARI 19-25

ZABURI 8-10

Wimbo 2 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. “Nitakusifu, Ee Yehova”!

(Dak. 10)

Yehova ni mwema kwetu kwa njia kubwa sana (Zb 8:​3-6; w21.08 3 ¶6)

Tunafurahi kumsifu Yehova kwa kuwaeleza wengine kuhusu kazi zake zinazostaajabisha (Zb 9:1; w20.05 23 ¶10)

Pia tunamsifu tunapomwimbia kwa moyo wote (Zb 9:2; w22.04 7 ¶13)

Picha: Njia za kumsifu Yehova. 1. Dada mwenye umri mkubwa akimhubiria anayemtunza. 2. Ndugu na dada wakiimba kwenye mikutano. 3. Mvulana akinyoosha mkono wake ili kutoa maelezo wakati wa mkutano wa kutaniko. 4. Ndugu kijana akisaidia kufanya usafi kwenye Jumba la Ufalme. 5. Dada kijana akimtolea mwanafunzi mwenzake ushahidi.

JIULIZE, ‘Ninaweza kumsifu Yehova katika njia gani nyingine?’

2. Hazina za Kiroho:

(Dak. 10)

  • Zb 8:3—Mtunga-zaburi alimaanisha nini aliporejelea vidole vya Mungu? (it-1 832)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Zb 10:​1-18 (th somo 11)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye nyumba anakuambia yeye haamini kuna Mungu. (lmd somo la 5 jambo kuu la 4)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Katika mazungumzo ya awali, mtu huyu alikuambia haamini kuna Mungu, lakini yuko tayari kuchunguza uthibitisho unaodokeza kwamba kuna Muumba. (th somo la 7)

6. Hotuba

(Dak. 5) w21.06 6-7 ¶15-18—Kichwa: Msaidie Mwanafunzi Wako wa Biblia Amsifu Yehova. (th somo la 10)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 10

7. Jinsi ya Kuzungumza kwa Njia ya Kawaida Unapohubiri Isivyo Rasmi

(Dak. 10) Mazungumzo.

Njia moja ya kuongeza nafasi za kumsifu Yehova ni kwa kuwahubiria wale tunaokutana nao katika shughuli zetu za kila siku. (Zb 35:28) Mwanzoni, huenda tukawa na wasiwasi kuhusu kuhubiri isivyo rasmi. Hata hivyo, tunapojifunza jinsi ya kuanzisha na kuendeleza mazungumzo kwa njia ya kawaida, tunaweza kuwa na matokeo zaidi, na hata tufurahie mahubiri yasiyo rasmi!

Picha kutoka kwenye video “Uwe Tayari Kushiriki “Habari Njema ya Amani”​—⁠Chukua Hatua ya Kwanza.” Dada akianzisha mazungumzo na mwanamke aliyeketi kwenye meza kando yake kwenye mkahawa.

Onyesha VIDEO Uwe Tayari Kushiriki “Habari Njema ya Amani”—Chukua Hatua ya Kwanza. Kisha uwaulize wasikilizaji:

Umejifunza nini katika igizo hilo kinachoweza kukusaidia kuwa na matokeo zaidi unapohubiri isivyo rasmi?

Yafuatayo ni madokezo machache yanayoweza kukusaidia kuanzisha mazungumzo:

  • Uwe macho kutambua nafasi za kuanzisha mazungumzo kila mara unapotoka nyumbani. Sali kuhusu jambo hilo na umwombe Yehova akuongoze kwa watu wenye mioyo minyoofu

  • Uwe mwenye urafiki na upendezwe kibinafsi na watu unaokutana nao. Jaribu kujifunza jambo fulani kumhusu mtu huyo kinachoweza kukusaidia utambue ni kweli gani za Biblia zitakazomvutia

  • Ikiwa inafaa, jaribu kuona ikiwa unaweza kupata habari zake za mawasiliano nawe umpe zako

  • Usivunjike moyo ikiwa mazungumzo yenu yanakwisha kabla ya kumtolea ushahidi

  • Fikiria kumhusu mtu huyo baada ya mazungumzo yenu. Endelea kumwonyesha upendezi kwa kumtumia kiunganishi cha mstari wa Biblia au makala ya jw.org

Jaribu kufanya hivi: Mtu akikuuliza, ‘Mwisho-juma wako ulikuwaje?,’ mweleze jambo fulani ambalo ulijifunza mkutanoni au kuhusu kazi unayofanya ukiwa mwalimu wa Biblia.

8. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 5)

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 6 ¶1-8, utangulizi wa sehemu ya 2

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 65 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki