Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb24 Mei kur. 8-9
  • Juni 3-9

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Juni 3-9
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
mwb24 Mei kur. 8-9

JUNI 3-9

ZABURI 45-47

Wimbo 27 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Yesu akiwa na bibi harusi wake wa mfano wakiwa wameshikana mikono wakiitazama dunia kutoka mbinguni.

Yesu Kristo na bibi-harusi wake, yaani, wale 144,000

1. Wimbo Kuhusu Ndoa ya Mfalme

(Dak. 10)

Zaburi 45 inazungumza kuhusu ndoa ya Mfalme wa Kimasihi (Zb 45:​1, 13, 14; w14 2/15 9-10 ¶8-9)

Ndoa ya Mfalme itafungwa baada ya Har–​Magedoni (Zb 45:​3, 4; w22.05 17 ¶10-12)

Ndoa hiyo itawaletea baraka wanadamu wote (Zb 46:​8-11; it-2 1169)


JIULIZE, ‘Je moyo wangu “umesisimuliwa” kutangaza habari njema kuhusu Mfalme wetu, Yesu Kristo?’—Zb 45:1.

Wanaume na wanawake wakifurahia Paradiso.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 45:16—Mstari huu unatufundisha nini kuhusu jinsi maisha yatakavyokuwa katika Paradiso? (w17.04 11 ¶9)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Zb 45:​1-17 (th somo la 5)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. (lmd somo la 1 jambo kuu la 3)

5. Hotuba

(Dak. 5) ijwbv 26—Kichwa: Ni Nini Maana ya Zaburi 46:10? (th somo la 18)

6. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 4) Onyesho. g 12/10 22-23—Kichwa: Maoni Yako Ni Nini Kuhusu Ngono Kati ya Watu wa Jinsia Moja? (lmd somo la 6 jambo kuu la 5)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 131

7. Endelea Kumwonyesha Mwenzi Wako wa Ndoa Upendo

(Dak. 10) Mazungumzo.

Picha kutoka kwenye video yenye kichwa “Jinsi ya Kuwa na Ndoa Yenye Furaha: Onyesha Upendo.” Mume akimbusu mke wake kichwani wakiwa wameketi kwenye benchi.

Harusi ni pindi zenye shangwe. (Zb 45:​13-15) Mara nyingi, siku ya harusi ndiyo siku yenye furaha zaidi katika maisha ya wenzi wa ndoa. Lakini wenzi wa ndoa wanaweza kufanya nini ili kudumisha furaha hiyo katika maisha yao yote?—Mhu 9:9.

Kuonyeshana upendo ni muhimu ili kuwa na ndoa yenye furaha. Wenzi wa ndoa wanapaswa kuiga mfano wa Isaka na Rebeka. Biblia inatuambia kwamba hata baada ya kukaa pamoja kwa zaidi ya miaka 30, bado walikuwa wakionyeshana mahaba. (Mwa 26:8) Ni nini kinachoweza kuwasaidia wenzi wa ndoa kuiga mfano wao?

Onyesha VIDEO Jinsi ya Kuwa na Ndoa Yenye Furaha: Onyesha Upendo. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Ni nini kinachoweza kuwafanya wenzi wa ndoa waache kuonyeshana upendo?

  • Mwenzi wa ndoa anaweza kufanya nini ili mwenzi wake ahisi anapendwa na kuthaminiwa?—Mdo 20:35

8. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 5)

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 10 ¶13-21

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 111 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki