Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb24 Julai kur. 6-7
  • Julai 22-28

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Julai 22-28
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
mwb24 Julai kur. 6-7

JULAI 22-28

ZABURI 66-68

Wimbo 7 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Yehova Anatubebea Mzigo Wetu Kila Siku

(Dak. 10)

Yehova anasikiliza sala zetu na kuzijibu (Zb 66:19; w23.05 12 ¶15)

Yehova anakazia fikira mahitaji ya wenye uhitaji (Zb 68:5; w10 12/1 23 ¶6; w09 4/1 31 ¶1)

Yehova anatusaidia kila siku (Zb 68:19; w23.01 19 ¶17)

Picha: Dada akisali siku nzima. 1. Asubuhi anapotoka kitandani. 2. Akiwa na watoto wake kabla ya wao kwenda shuleni. 3. Akiwa kazini.

JAMBO LA KUTAFAKARI: Tunamruhusuje Yehova atubebee mzigo wetu?

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 68:18—Katika Israeli la kale, ni ‘wanaume gani waliokuwa zawadi’? (w06 6/1 10 ¶5)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Zb 66:​1-20 (th somo la 11)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye nyumba anatoka nchi au ana utamaduni tofauti na wako. (lmd somo la 5 jambo kuu la 3)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Endeleza mazungumzo katika trakti uliyomwachia katika ziara iliyotangulia. (lmd somo la 9 jambo kuu la 3)

6. Kufanya Wanafunzi

(Dak. 5) lff somo la 15 utangulizi na jambo kuu la 1-3 (th somo la 8)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 102

7. Je, Unaweza Kufanya Mzigo wa Mwingine Uwe Mwepesi Zaidi?

(Dak. 15) Mazungumzo.

Hakuna yeyote kati ya watumishi wa Mungu anayehitaji kukabiliana na changamoto za maisha akiwa peke yake. (2Nya 20:15; Zb 127:1) Yehova yuko pamoja nasi ili kutusaidia. (Isa 41:10) Yehova anatusaidia katika njia zipi? Anatupatia mwongozo kupitia Neno lake na tengenezo lake. (Isa 48:17) Anatupatia roho yake takatifu yenye nguvu. (Lu 11:13) Pia, anawachochea ndugu na dada zetu kututia moyo na kutupatia msaada unaofaa. (2Ko 7:6) Hilo linamaanisha kwamba Yehova anaweza kumtumia mtu yeyote kufanya mzigo wa Mkristo mwenzake kuwa mwepesi zaidi.

Picha kutoka kwenye video “Onyesha Upendo Usioshindwa Kutanikoni​—⁠Kwa Waliozeeka.” Dada Paulina Sántiz Gómez akitabasamu akiwa amesimama nje ya nyumba yake.

Onyesha VIDEO Onyesha Upendo Usioshindwa Kutanikoni—Kwa Waliozeeka. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Unaweza kufanya nini ili kufanya mzigo wa Mkristo aliyezeeka uwe mwepesi zaidi?

Picha kutoka kwenye video “Onyesha Upendo Usioshindwa Kutanikoni​—⁠Kwa Watumishi wa Wakati Wote.” Joseph na Anita DeVito wakiwa pamoja katika huduma ya shambani.

Onyesha VIDEO Onyesha Upendo Usioshindwa Kutanikoni—Kwa Watumishi wa Wakati Wote. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Unaweza kufanya nini ili kufanya mzigo wa mtumishi wa wakati wote uwe mwepesi zaidi?

Picha kutoka kwenye video “Onyesha Upendo Usioshindwa Kutanikoni​—⁠Kwa Wageni.” Bill na Maggie Zeng wakitabasamu wakati wa funzo lao la Biblia.

Onyesha VIDEO Onyesha Upendo Usioshindwa Kutanikoni —Kwa Wageni. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Unaweza kufanya nini ili kufanya mzigo wa wale wanaokabili jaribu uwe mwepesi zaidi?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 13 ¶1-7, utangulizi wa sehemu ya 5, na sanduku uk. 103

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 88 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki