Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb24 Julai kur. 4-5
  • Julai 15-21

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Julai 15-21
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
mwb24 Julai kur. 4-5

JULAI 15-21

ZABURI 63-65

Wimbo 108 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. “Upendo Wako Mshikamanifu Ni Bora Kuliko Uhai”

(Dak. 10)

Kuwa na uhusiano mzuri na Mungu ni muhimu kuliko uhai wenyewe (Zb 63:3; w01 10/15 15-16 ¶17-18)

Kutafakari upendo mshikamanifu wa Yehova kunatufanya tumthamini hata zaidi (Zb 63:6; w19.12 28 ¶4; w15 10/15 24 ¶7)

Kuthamini upendo mshikamanifu wa Mungu kunatuchochea tumsifu kwa shangwe (Zb 63:​4, 5; w09 7/15 16 ¶6)

Picha: Dada akisoma Biblia. 1. Akishiriki kwa shangwe katika huduma pamoja na dada mwingine. 2. Akitoa maelezo mikutanoni.

PENDEKEZO LA IBADA YA FAMILIA: Zungumzieni njia ambazo Yehova amewaonyesha upendo mshikamanifu.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 64:3—Mstari huu unatuchocheaje kuhakikisha tunasema maneno yanayojenga? (w07 11/15 15 ¶6)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Zb 63:1–64:10 (th somo la 12)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye nyumba hazungumzi lugha yako. (lmd somo la 3 jambo kuu la 4)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mazungumzo yanaisha kabla hujatoa ushahidi. (lmd somo la 2 jambo kuu la 4)

6. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA UMMA. Chunguza ni jambo gani linalompendeza mtu huyo, kisha upange kufuatia upendezi. (lmd somo la 1 jambo kuu la 5)

7. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 4) Onyesho. ijwfq 51—Kichwa: Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanawahubiria Tena na Tena Watu Wanaosema “Mimi Sipendezwi”? (lmd somo la 4 jambo kuu la 3)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 154

8. Jinsi Tunavyomwonyesha Mungu Tunampenda

(Dak. 15) Mazungumzo.

Yehova ana “upendo mwingi mshikamanifu.” (Zb 86:15) Maneno “upendo mshikamanifu” yanarejelea upendo unaochochewa na uwajibikaji au ujitoaji, utimilifu, ushikamanifu, na kufungamana kwa dhati. Ingawa Yehova huwaonyesha upendo wanadamu wote kwa ujumla, “upendo mshikamanifu” unafafanua aina ya upendo ambao anawaonyesha watumishi wake tu, wale ambao wana uhusiano wa pekee pamoja naye. (Zb 33:18; 63:3; Yoh 3:16; Mdo 14:17) Tunaweza kuonyesha tunathamini upendo mshikamanifu wa Yehova kwa kumwonyesha tunampenda pia. Jinsi gani? Kwa kutii amri zake, kutia ndani amri ya “kufanya wanafunzi.”—Mt 28:19; 1Yo 5:3.

Onyesha VIDEO Onyesha Upendo Usioshindwa Katika Huduma. Kisha waulize wasikilizaji:

Upendo utatuchocheaje kushiriki habari njema

    Picha kutoka kwenye video “Onyesha Upendo Usioshindwa Katika Huduma.” Baba katika video hiyo amelala kwenye sofa baada ya kurudi nyumbani kutoka kazini.
  • tunapokuwa tumechoka?

  • Picha kutoka kwenye video “Onyesha Upendo Usioshindwa Katika Huduma.” Mwenye nyumba aliye na hasira anazungumza kwa ukali na baba huyo aliyeambatana na mwana wake katika huduma.
  • tunapokabili upinzani?

  • Picha kutoka kwenye video “Onyesha Upendo Usioshindwa Katika Huduma.” Mama na binti yake kutoka kwenye video hiyo wakizungumza na mfanyakazi kwenye duka kubwa.
  • tunapoendelea na shughuli za kila siku?

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 12 ¶14-20

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 79 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki