Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Machi kur. 2-16
  • Machi 3-9

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Machi 3-9
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
mwb25 Machi kur. 2-16

MACHI 3-9

METHALI 3

Wimbo 8 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Onyesha Unamtumaini Yehova

(Dak. 10)

Mtumaini Yehova, usijitegemee (Met 3:5; ijwbv makala ya 14 ¶4-5)

Onyesha unamtumaini Yehova kwa kutafuta na kufuata mwelekezo wake (Met 3:6; ijwbv makala ya 14 ¶6-7)

Usijiamini kupita kiasi (Met 3:7; be 76 ¶4)

Dada kijana akitumia kifaa cha kielektroni ili kufanya utafiti kuhusu malengo anayoweza kujiwekea. Upande wake wa kushoto kuna broshua zinazohusu elimu ya kilimwengu. Na upande wake wa kulia kuna fomu kwa ajili ya kupanua utumishi wake wa kitheokrasi na habari zinazohusu Betheli.

JIULIZE, ‘Je, mimi hutafuta mwongozo wa Yehova katika kila sehemu ya maisha yangu?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Met 3:3—Tunawezaje kufunga upendo mshikamanifu na uaminifu shingoni na kuziandika kama kibao cha moyo wetu? (w06 9/15 17 ¶7)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Met 3:​1-18 (th somo la 12)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida. (lmd somo la 1 jambo kuu la 5)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA UMMA. Mweleze mwenye nyumba kuhusu tovuti yetu, na umwachie kadi ya mawasiliano. (lmd somo la 3 jambo kuu la 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) w11 3/15 14 ¶7-10—Kichwa: Onyesha Unamtegemea Mungu Unapokutana na Watu Wasiopendezwa Katika Huduma. (th somo la 20)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 124

7. Onyesha Unalitumaini Tengenezo la Yehova

(Dak. 15) Mazungumzo.

Huenda ikawa rahisi kutumaini mwongozo unaotoka kwenye Neno la Mungu, Biblia. Hata hivyo, inaweza kuwa vigumu zaidi kutumaini mwongozo kutoka kwa wanadamu wasio wakamilifu wanaoongoza katika tengenezo la Yehova, hasa ikiwa hatuelewi au hatukubali mwongozo unaotolewa.

Soma Malaki 2:7. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Kwa nini si ajabu kwamba Yehova anatumia wanadamu wasio wakamilifu kuwaongoza watu wake?

Soma Mathayo 24:45. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Kwa nini tunaweza kutumaini mwongozo kutoka kwa tengenezo la Yehova?

Soma Waebrania 13:17. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Kwa nini tunapaswa kuunga mkono maamuzi yanayotolewa na wale ambao Yehova anawatumia kuongoza?

Familia imeletewa chakula na ndugu. Wote wamevaa barakoa nao wanampungia ndugu akiwa mbali.
Dada akitoa maelezo katika mkutano huku ndugu akiwa amemsogezea kikuza sauti kwa kutumia kishikio kirefu. Wahudhuriaji wote wamevaa barakoa.

Onyesha VIDEO Ripoti ya 9 ya Baraza Linaloongoza ya 2021—Kisehemu. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Mwongozo tuliopata wakati janga la COVID-19 ulikusaidiaje kulitumaini hata zaidi tengenezo la Yehova?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 23 ¶9-15, na masanduku uk. 184, 186

Umalizio(Dak. 3) | Wimbo 57 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki