JULAI 7-13
METHALI 21
Wimbo 98 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Kanuni Zenye Hekima Zinazosaidia Kuwa na Ndoa Yenye Furaha
(Dak. 10)
Usifanye uamuzi haraka wa kufunga ndoa na mtu bila kumfahamu vizuri (Met 21:5; w03 10/15 4 ¶5)
Uwe mnyenyekevu kutoelewana kunapotokea (Met 21:2, 4; g 7/08 7 ¶2)
Mtendeane kwa subira na fadhili (Met 21:19; w06 9/15 28 ¶13)
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Met 21:31—Mstari huu unatusaidiaje kuelewa maana ya unabii unaopatikana kwenye andiko la Ufunuo 6:2? (w05 1/15 17 ¶9)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Met 21:1-18 (th somo la 5)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. (lmd somo la 3 jambo kuu la 3)
5. Kufuatia Upendezi
(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. (lmd somo la 7 jambo kuu la 3)
6. Kufafanua Imani Yako
(Dak. 5) Onyesho. ijwfq makala ya 54—Kichwa: Mashahidi wa Yehova Wana Maoni Gani Kuhusu Talaka? (lmd somo la 4 jambo kuu la 3)
Wimbo 132
7. Onyesha Heshima Katika Ndoa Yako
(Dak. 15) Mazungumzo.
Unapofunga ndoa, unaapa mbele za Yehova kwamba utampenda na kumheshimu mwenzi wako. Hivyo, jinsi unavyomtendea mume au mke wako kunaathiri uhusiano wako na Yehova.—Met 20:25; 1Pe 3:7.
Onyesha VIDEO Jinsi ya Kuwa na Ndoa Yenye Furaha: Onyesha Heshima. Kisha waulize wasikilizaji:
Kwa nini ni muhimu kumheshimu mwenzi wako wa ndoa?
Huenda tukahitaji kufanya mabadiliko gani ili tuonyeshe heshima zaidi?
Ni baadhi ya kanuni gani za Biblia zinazoweza kutusaidia?
Ni baadhi ya njia gani hususa za kumwonyesha heshima mwenzi wako?
Tunapaswa kukazia mambo gani kumhusu mwenzi wetu, na kwa nini?
8. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 28 ¶16-22