Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Julai kur. 14-15
  • Agosti 25-31

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Agosti 25-31
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
mwb25 Julai kur. 14-15

AGOSTI 25-31

METHALI 28

Wimbo 150 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Tofauti Kati ya Mtu Mwovu na Mtu Mwadilifu

(Dak. 10)

Mtu mwovu ni mwoga; mtu mwadilifu ni jasiri (Met 28:1; w93 5/15 26 ¶2)

Mtu mwovu hawezi kutenda kwa njia ya haki; mtu mwadilifu ana uwezo wa kufanya maamuzi mazuri (Met 28:5; it-2 1139 ¶3)

Mtu mwadilifu ambaye ni maskini ana thamani kuliko mtu mwovu ambaye ni tajiri (Met 28:6; it-1 1211 ¶4)

Ndugu anatazama juu akiwa na uhakika anaposali akiwa kwenye chumba cha gereza.

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Met 28:14—Methali hii inatupatia onyo gani? (w01 12/1 11 ¶3)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Met 28:​1-17 (th somo la 10)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Zungumza kuhusu mwisho wa vita na ukatili. (lmd somo la 5 jambo kuu la 5)

5. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Zungumza kuhusu mwisho wa vita na ukatili. (lmd somo la 5 jambo kuu la 4)

6. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA UMMA. Zungumza kuhusu mwisho wa vita na ukatili. (lmd somo la 1 jambo kuu la 4)

7. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Zungumza kuhusu mwisho wa vita na ukatili. (lmd somo la 2 jambo kuu la 4)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 112

8. Je, Unachukia Ukatili?

(Dak. 6) Mazungumzo.

Mvulana akicheza mchezo wa video.

Shetani Ibilisi, ambaye Yesu anamwita “muuaji” ndiye chanzo cha ukatili. (Yoh 8:44) Baada ya malaika kuungana na Shetani katika uasi wake, ukatili uliongezeka sana hivi kwamba dunia ilikuwa imeharibika machoni pa Mungu. (Mwa 6:11) Tunapokaribia mwisho wa ulimwengu wa Shetani wenye ukatili, watu wengi ni wakali na wasiojizuia.—2Ti 3:​1, 3.

Soma Zaburi 11:5. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Yehova anahisije kuhusu wale wanaopenda ukatili, na kwa nini?

  • Michezo na burudani ambazo watu wengi hutazama leo zinaonyeshaje kwamba wanavutiwa na ukatili?

Soma Methali 22:​24, 25. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Ni katika njia gani burudani tunazochagua na watu tunaoshirikiana nao wanaweza kuathiri mtazamo wetu kuelekea ukatili?

  • Burudani ambayo tunachagua inaonyeshaje ikiwa tunapenda au kuchukia ukatili?

9. Kampeni ya Pekee Mwezi wa Septemba

(Dak. 9)

Hotuba itolewe na mwangalizi wa utumishi. Wachochee wote kwa ajili ya kampeni na utaje mipango ya kutaniko lenu.

Onyesha VIDEO Amani Milele! (Wimbo wa Kusanyiko la Eneo la 2022).

10. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) lfb somo la 12-13

Umalizio (Dak 3.) | Wimbo 113 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki