Toleo la Funzo
FEBRUARI 2020
MAKALA ZA FUNZO: APRILI 6–MEI 3, 2020
© 2019 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Mwisraeli mwenye umri mdogo anakimbia kwa Musa na Yoshua ili kuwajulisha kwamba wanaume wawili kambini wanatenda kama manabii. Yoshua anamwambia Musa awakataze wanaume hao, lakini Musa anakataa kufanya hivyo. Badala yake, anamwambia Yoshua kwamba anafurahi kuwa Yehova amewapa wanaume hao wawili roho Yake (Tazama makala ya 8, fungu la 10)