Toleo la Funzo
NOVEMBA 2020
MAKALA ZA FUNZO: JANUAR1 4-31, 2021
Gazeti hili haliuzwi. Ni sehemu ya kazi ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote inayotegemezwa kwa michango ya hiari. Ikiwa ungependa kutoa mchango, tafadhali tembelea donate.jw.org.
Isipokuwa iwe imeonyeshwa vingine, Maandiko yamenukuliwa kutoka katika Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.
PICHA KWENYE JALADA:
Wakati wa dhoruba kali baharini, malaika anamhakikishia Paulo kwamba kila mtu kwenye meli ataokoka safiri hiyo yenye hatari (Tazama makala ya 46, fungu la 5)