Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w24 Aprili uku. 32
  • Watu wa Kiroho Hufanya Maamuzi Yenye Hekima

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Watu wa Kiroho Hufanya Maamuzi Yenye Hekima
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2024
  • Habari Zinazolingana
  • Linda Urithi Wako kwa Kufanya Maamuzi ya Hekima
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Yakobo Alipewa Urithi
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Mapacha Waliokuwa Tofauti
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2024
w24 Aprili uku. 32

MRADI WA KUJIFUNZA

Watu wa Kiroho Hufanya Maamuzi Yenye Hekima

Soma Mwanzo 25:​29-34 ili ujifunze ikiwa Esau na Yakobo walifanya maamuzi yenye hekima.

Chimba zaidi kwenye muktadha. Ni jambo gani lilitukia mapema? (Mwa. 25:​20-28) Ni jambo gani lilitukia baadaye?—Mwa. 27:​1-46.

Chimba zaidi katika habari hususa. Katika siku hizo, mzaliwa wa kwanza alikuwa na haki na majukumu gani?—Mwa. 18:​18, 19; w10 5/1 13.

  • Je, sikuzote mtu alihitaji kuwa mzaliwa wa kwanza ili awe babu wa Masihi? (w17.12 14-15)

Tafakari mambo ambayo umejifunza na uyatumie. Kwa nini Yakobo alithamini zaidi haki ya mzaliwa wa kwanza kuliko Esau? (Ebr. 12:​16, 17; w03 10/15 28-29) Yehova alihisije kuhusu ndugu hao wawili, na kwa nini? (Mal. 1:​2, 3) Esau angeweza kufanya jambo gani tofauti ili afanye maamuzi mazuri zaidi?

  • Jiulize hivi, ‘Ninawezaje kuonyesha kwamba ninathamini mambo ya kiroho inapohusu ratiba yangu ya kila juma, kama vile ninapopanga muda wa ibada ya familia?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki