Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
Kina Ripoti ya Mwaka wa Utumishi wa 2003
“Endeleeni Kukesha . . .
Iweni Tayari.”—Mathayo 24:42, 44.
Neno la Mungu hutukumbusha tena na tena kwamba siku ya Yehova itakuja ghafula! Kwa hiyo, andiko letu la mwaka wa 2004 linaonyesha jinsi Yesu anavyowapenda sana wanafunzi wake, ambao anataka kuwaokoa wakati wa “ile dhiki kuu.” (Ufu. 7:14) Tunawezaje kuendelea kukesha kiroho na kuwa tayari? Kwa kutoruhusu jambo lolote lituzuie kujifunza Neno la Mungu na kushiriki katika utumishi mtakatifu. Kitabu hiki cha mwaka kina vielelezo vya Mashahidi wengi waaminifu waliotii shauri la Yesu la upendo. Igeni imani yao.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
Presses on pages 13, 22, and 23: Copyright by MAN Roland Druckmaschinen AG