Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
“Msaada Wangu Unatoka Kwa Yehova.”—Zaburi 121:2.
Ni kweli kwamba tunaishi katika “nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo.” (2 Tim. 3:1) Wewe hutafuta msaada kwa nani unapokabili majaribu au matatizo? Bila shaka, una usadikisho imara kama wa mtunga-zaburi ambaye maneno yake yamechaguliwa kuwa andiko la mwaka wa 2005. Katika kurasa zinazofuata, utasoma masimulizi ya wengi waliomtegemea Yehova awasaidie kuvumilia kwa uaminifu. Masimulizi yao na yakuimarishe katika azimio lako la kumtegemea Yehova sikuzote, ukijua kwamba yeye yu tayari kuwasaidia washikamanifu wake.—2 Nya. 16:9a.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
Page 13: THONY BELIZAIRE/AFP/Getty Images; page 105: Avec l’aimable permission du journal La Dépêche de Tahiti