Ukurasa wa Kichwa/Ukurasa wa Wachapishaji
2010 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
Kina Ripoti ya Mwaka wa Utumishi wa 2009
Kitabu hiki ni cha ․․․․․
‘Upendo huvumilia mambo yote. Upendo haushindwi kamwe.’—1 WAKORINTHO 13:7, 8.
Katika hizi “siku za mwisho,” watu wanazidi kuwa “wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa, [na] wanaopenda raha badala ya kumpenda Mungu.” (2 Tim. 3:1-4) Hata hivyo, wale wanaomtumikia Yehova ni tofauti kabisa! Upendo hutuchochea kuhubiri Neno la Mungu. Upendo hutuchochea ‘kuwatendea wote mema.’ (Gal. 6:10) Na upendo ndio unaotutambulisha kuwa wanafunzi wa kweli wa Kristo.—Yoh. 13:35.
Ni muhimu kama nini kuendelea kusitawisha upendo wetu kwa Yehova na Mwana wake mpendwa, Yesu Kristo, kwa kutafakari mambo yote ambayo wametufanyia! Pia ni muhimu tuwapende ndugu zetu na wale ambao bado hawajamjua Yehova. Ijapokuwa tutapata majaribu, upendo utatusaidia kuvumilia. Andiko la mwaka la 2010 na litukumbushe kuendelea kukuza sifa hiyo nzuri, sifa ya upendo.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
Photo Credits: Page 66: Trader on bicycle: FAO Photo/K. Dunn; page 200: Jaguar: © Lynn Stone/Index Stock/age fotostock; Mayan ruins: © Jane Sweeney/Robert Harding Picture Library/age fotostock