Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb16 uku. 25-uku. 27 fu. 1
  • Nuru Yazidi Kuongezeka

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Nuru Yazidi Kuongezeka
  • 2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Jinsi ya Kufanikisha Njia Yako
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Mwige Yehova kwa Kutokuwa na Ubaguzi
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Je, Unakumbuka?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
  • “Msioane Nao Kamwe”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
Pata Habari Zaidi
2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
yb16 uku. 25-uku. 27 fu. 1
Wafanyakazi katika shamba la ngano

MATUKO MUHIMU YA MWAKA ULIOPITA

Nuru Yazidi Kuongezeka

KWA KUWA waabudu wa kweli wanaamini kwamba Yehova ni Chanzo cha nuru ya kiroho, husali kwa bidii ‘nuru na kweli’ ya Mungu iwaongoze. (Zab. 43:3) Ingawa ulimwengu uko katika giza zito la kiroho, Mungu wa kweli anaendelea kuwaangazia nuru watu wake. Hivyo, njia yao ni ‘ni kama nuru inayong’aa na inayozidi kuongezeka.’ (Met. 4:18) Nuru ya Yehova inayoongezeka inaendelea kuwaangazia kitengenezo, kimafundisho na kimaadili. Ni baadhi ya uelewaji gani mpya ambao tumepata hivi karibuni?

2012

“Falme hizi zote”—Dan. 2:44

w12 6/15 uku. 17

Mordekai na Esta ‘wagawanya nyara’—Mwa. 49:27

w12 1/1 uku. 29

Uharibifu unaosababishwa na “mfalme mwenye sura kali”—Dan. 8:23, 24

w12 6/15 uku. 16

Vidole vya miguu vya sanamu ya ndoto ya Nebukadneza—Dan. 2:41-43

w12 6/15 uku. 16

Serikali kuu ya Ulimwengu ya saba iliibuka lini?

w12 6/15 uku. 15, 19

2013

“Mtumwa mwaminifu na mwenye busara”—Mt. 24:45-47

w13 7/15 uku. 8, 20-25

“Mtumwa. . . mwovu”—Mt. 24:48-51

w13 7/15 uku. 24

Watiwa mafuta hawatakuwa duniani wakati wa Har–Magedoni

w13 7/15 uku. 5

‘Mwashuru aja katika nchi yetu’—Mika 5:5

w13 11/15 uku. 20

Waliochaguliwa wakusanywa—Mt. 24:31; Marko 13:27

w13 7/15 uku. 5

Dhiki kuu

w13 7/15 uku. 3-8

Mfano wa ngano na magugu—Mt. 13:24-30

w13 7/15 uku. 13-14

Kuwasili, kufika kwa Yesu —Mt. sura ya 24 na 25

w13 7/15 uku. 7-8, 24

Yesu akagua hekalu la kiroho kuanzia 1914 hadi 1919—Mal. 3:1-4

w13 7/15 uku. 11-12

Maana ya jina Yehova

Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Kiingereza uku. 1735

2014

Kuwekwa rasmi kwa wazee na watumishi wa huduma

w14 11/15 uku. 28-29

Sababu iliyofanya Wayahudi wa karne ya kwanza ‘wamtarajie’ Masihi—Luka 3:15

w14 2/15 uku. 26-27; w14 6/15 uku. 22

Kipindi cha kutakasa hekalu la kiroho—Mal. 3:1-4

w14 11/15 uku. 30

Ndoa baada ya ufufuo—Luka 20:34-36

w14 8/15 uku. 29-30

“Msingi imara wa Mungu”—2 Tim. 2:19

w14 7/15 uku. 8-9, 13

Mashahidi wawili—Ufunuo sura ya 11

w14 11/15 uku. 30

2015

Gogu wa Magogu—Ezekieli sura ya 38 hadi 39

w15 5/15 uku. 29-30

Je, dada anapaswa kufunika kichwa anapoongoza funzo la Biblia?

w15 2/15 uku. 30

Mfano wa talanta—Mt. 25:14-30

w15 3/15 uku. 20-24

Mfano wa mabikira kumi—Mt. 25:1-13

w15 3/15 uku. 13-16

Kivuli na ufananisho

w15 3/15 uku. 9-11, 17-18; w15 6/15 uku. 32

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki