Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 21
  • Je, Ibilisi Ndiye Anayesababisha Kuteseka Kote?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Ibilisi Ndiye Anayesababisha Kuteseka Kote?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Ni Nani Hasa Anayeutawala Ulimwengu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Majibu ya Maswali ya Biblia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Adui wa Uzima wa Milele
    Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani
  • Biblia Inasema Nini?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2016
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 21
Mkono wa Ibilisi ukishikilia dunia

Je, Ibilisi Ndiye Anayesababisha Kuteseka Kote?

Jibu la Biblia

Biblia inafunua kwamba Shetani Ibilisi ni kiumbe halisi wa roho ambaye kama tu kiongozi mwenye nguvu wa kikundi cha wahalifu, anajaribu kutimiza makusudi yake kupitia “ishara za uwongo” na “udanganyifu.” Kwa kweli, kama Biblia inavyosema, Shetani “huendelea kujigeuza mwenyewe kuwa malaika wa nuru.” (2 Wathesalonike 2:9, 10; 2 Wakorintho 11:14) Tunaweza kujua kwamba Ibilisi ni kiumbe halisi kutokana na mambo anayotenda.

Hata hivyo, Ibilisi hasababishi kuteseka kote kwa wanadamu. Kwa nini? Mungu alimuumba wanadamu akiwa na uwezo wa kuchagua kufanya mema au mabaya. (Yoshua 24:15) Tunapofanya maamuzi mabaya, tunavuna matokeo mabaya.—Wagalatia 6:7, 8.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki