Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt kur. 2108-2109
  • B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Nisani 12
  • Nisani 13
  • Nisani 14
  • Nisani 15 (Sabato)
  • Nisani 16
  • B12-A Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 1)
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Ratiba ya Usomaji wa Biblia ya Ukumbusho wa 2023
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Ratiba ya Usomaji wa Biblia wa Ukumbusho wa 2022
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2022
  • Ratiba ya Usomaji wa Biblia wa Ukumbusho wa 2024
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
Pata Habari Zaidi
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
B12-B Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)

B12-B

Juma la Mwisho la Maisha ya Yesu Duniani (Sehemu ya 2)

Makala Iliyochapishwa

Nisani 12

MACHWEO (Kwa Wayahudi siku huanza na kwisha jua linapotua)

MAPAMBAZUKO

  • Yesu ashinda na wanafunzi wake

  • Yuda apanga kumsaliti Yesu

  • Mathayo 26:1-5, 14-16

  • Marko 14:1, 2, 10, 11

  • Luka 22:1-6

MACHWEO

Nisani 13

MACHWEO

MAPAMBAZUKO

  • Petro na Yohana watayarisha Pasaka

  • Yesu na mitume wengine wawasili jioni inapokaribia

  • Mathayo 26:17-19

  • Marko 14:12-16

  • Luka 22:7-13

MACHWEO

Nisani 14

MACHWEO

  • Yesu ala Pasaka na mitume wake

  • Awaosha miguu mitume

  • Amfukuza Yuda

  • Aanzisha Mlo wa Jioni wa Bwana

  • Mathayo 26:20-35

  • Marko 14:17-31

  • Luka 22:14-38

  • Yohana 13:1–17:26

  • Asalitiwa na kukamatwa katika bustani ya Gethsemane

  • Mitume wakimbia

  • Aulizwa maswali na Sanhedrini katika nyumba ya Kayafa

  • Petro amkana Yesu

  • Mathayo 26:36-75

  • Marko 14:32-72

  • Luka 22:39-65

  • Yohana 18:1-27

MAPAMBAZUKO

  • Asimama tena mbele ya Sanhedrini

  • Apelekwa kwa Pilato, kisha kwa Herode, arudishwa tena kwa Pilato

  • Ahukumiwa kifo na kutundikwa Golgotha

  • Afa karibu saa tisa mchana

  • Mwili waondolewa na kuzikwa

  • Mathayo 27:1-61

  • Marko 15:1-47

  • Luka 22:66–23:56

  • Yohana 18:28–19:42

MACHWEO

Nisani 15 (Sabato)

MACHWEO

MAPAMBAZUKO

  • Pilato akubali walinzi wawekwe ili kulinda kaburi la Yesu

  • Mathayo 27:62-66

MACHWEO

Nisani 16

MACHWEO

  • Manukato zaidi yanunuliwa kwa ajili ya mwili wa Yesu

  • Marko 16:1

MAPAMBAZUKO

  • Afufuliwa

  • Awatokea wanafunzi wake

  • Mathayo 28:1-15

  • Marko 16:2-8

  • Luka 24:1-49

  • Yohana 20:1-25

MACHWEO

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki