Ukurasa wa Pili
Kukabiliana na Hekaheka za Leo 3-11
Kwa watu fulani, mwendo wa maisha waonekana ukizidi kuwa wa kasi. Mtu aweza kukabilianaje na hali hiyo?
Je, Ndoa Iwe Muungano wa Maisha? 18
Biblia yasema nini kuhusu jambo hilo?
Mawimbi Yanayofisha—Hekaya na Ukweli 24
Ni nini kinachofanyiza mawimbi hayo? Ni yenye uharibifu kadiri gani?