Ukurasa wa Pili
“Je, Nimwabudu Mungu Jinsi Nipendavyo?” 3-11
Watu wengi leo wanaweza kuunga mkono wazo hilo. Ni nini kinachofanya watu kuwa na mwelekeo huo? Na je, kufanya dini ipatane na mapendezi yako kwaweza kutosheleza mahitaji yako ya kiroho?
Mbona Yule Ninayeishi Naye Ni Mgumu Sana? 16
Leo, watu wengi huishi pamoja kwa sababu mbalimbali. Fikiria magumu mengi wanayokabili.
Licha ya Majaribu, Tumaini Langu Halijafifia 19
Kwa nini mfungwa huyo mwenye njaa alinunua Biblia kwa kupeana chakula chake cha siku tatu? Soma jinsi alivyokabiliana na hali wakati wa Vita ya Pili ya Ulimwengu.
[Picha katika ukurasa wa 2]
Sanamu ya Kihindu: Photograph taken by courtesy of the British Museum