Ukurasa wa Pili
Je, Inawezekana Kupatanisha Sayansi na Dini? 3-11
Watu fulani wanaonelea kwamba kuna mgogoro kati ya sayansi na dini. Je, inawezekana kupatanisha mambo hayo mawili?
Je, Wakristo Wanapaswa Kuwahubiria Wengine? 12
Maoni ya Mungu na ya Yesu ni nini kuhusu jambo hilo?
Chumvi Ni Bidhaa Muhimu 14
Tangu zamani, chumvi imeonwa kuwa muhimu sana. Kwa nini?