Yaliyomo
Juni 2008
Unawafahamu Watoto Wako Vizuri Kadiri Gani?
Mara nyingi mitazamo na sura za watoto hubadilika haraka. Wazazi wanaweza kufanya nini ili kuwapa watoto mwongozo unaofaa? Biblia inaweza kuwasaidiaje?
3 “Kwa Nini Mtoto Wangu Amebadilika Sana?”
4 Kuwalea Vijana Wanaobalehe —Jinsi Uelewaji Unavyohusika
6 Kuwalea Vijana Wanaobalehe —Jinsi Hekima Inavyohusika
12 Mahali Niliposikia Jina Yehova Mara ya Kwanza
16 Simbamarara wa Siberia—Je, Ataokoka?
21 Je, Damu Iliyopimwa UKIMWI Ni Salama?
31 Ungejibuje?
Je, Ni Sawa Kutumia Nguvu Ili Kujilinda? 10
Mtu anapaswa kufanya nini anaposhambuliwa? Ni ulinzi gani ulio bora?
Wasichana wengi wana wanasesere. Jifunze kuhusu wanasesere na kuhusu matatizo yanayoweza kusababishwa na wanasesere.