Utangulizi
Je, Wajua kwamba Mashahidi wa Yehova huchapisha machapisho wanayotafsiri katika lugha zaidi ya 750?
Kwa nini tunafanya hivyo? Ili kwamba ujumbe wa Biblia uwafikie watu wa “kila taifa na kabila na lugha.”—Ufunuo 14:6.
Makala hii ya gazeti la “Amkeni!” imeandaa habari za ziada kuelezea jinsi ambavyo kazi ya kutafsiri hufanywa.