Wimbo 27
Msiwaogope!
1. ’Nyi watu wangu songeni,
Ufalme tangazeni.
Adui musihofu.
Wote wajulisheni
Mwana wangu, Kristo Yesu,
Kafukuza adui,
Atafunga Ibilisi,
Awaache mateka.
(Korasi)
2. Ijapo adui wengi,
Ijapo wanatisha,
Japo wachekecheke,
Musiwaogope la,
Musiogope; pigeni;
Moyo usizimie.
Nitalinda wa’minifu
Vizuizi vitoke.
(Korasi)
3. Musiogope, mimi ni
Nguvu na ngao yenu.
Japo mufe shambani
Kifo kitanitii.
La, musihofu askari;
Wajaporinga hao,
Nitakinga wa’minifu.
Kama mboni ya jicho.
(KORASI)
Musiogope waua
Mwili tu, si nafusi.
Dumuni waaminifu
Mufikie muradi.