Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 33
  • Msiwaogope!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Msiwaogope!
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Msiwaogope!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Msiwaogope!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • “Tamasha ya Ulimwengu Huu Inabadilika”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 33

Wimbo Na. 33

Msiwaogope!

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 10:28)

1. Watu wangu musisite,

Ufalme tangazeni.

Musihofu adui.

Wote hubirieni.

Mwana wangu, Kristo Yesu,

Katimua Shetani,

Atamfunga karibuni,

Kisha kuwe amani.

(KORASI)

Watu wangu musihofu.

Nitawapa wokovu.

Nitalinda wenye kicho,

Kama mboni ya jicho.

2. Japo adui ni wengi,

Japo wanawatisha,

Japo wanawacheka,

Ili kuwapotosha,

Musihofu watu wangu;

Pigeni moyo konde.

Nitatunza wa’minifu,

Adui wamushinde.

(KORASI)

Watu wangu musihofu.

Nitawapa wokovu.

Nitalinda wenye kicho,

Kama mboni ya jicho.

3. Sitawasahau kamwe;

Nitawapa ulinzi.

Hata mufe shambani,

Kifo kitanitii.

Hata wakiua mwili;

Nafsi hawataweza.

Iweni waaminifu,

Nami nitawakweza.

(KORASI)

Watu wangu musihofu.

Nitawapa wokovu.

Nitalinda wenye kicho,

Kama mboni ya jicho.

(Ona pia Kum. 32:10; Neh. 4:14; Zab. 59:1; 83:2, 3.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki