Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 39
  • Mashujaa wa Mungu Wanasonga Mbele

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mashujaa wa Mungu Wanasonga Mbele
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kumtukuza Baba Yetu, Yehova
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kufanikisha Maisha Yetu
    Mwimbieni Yehova
  • Muujiza wa Uhai
    Mwimbieni Yehova
  • Muujiza wa Uhai
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 39

Wimbo 39

Mashujaa wa Mungu Wanasonga Mbele

(1 Timotheo 6:12)

1. Mashujaa wasonga;

Wanathibitika

Waheshimu Yehova,

Watetea jina.

Lijapokuwa joka

Lipigane nao,

Kukinga jeshi lake

Mungu yumo sana.

2. Vita ni ya jeuri

Siku hii ya Yah.

Twahubiri hakika.

Hatuwaogopi

Mwana ni Jemadari

Kwa haki ashinde.

Apinga shambulio;

Tu upande wake.

3. Na Mungu tunasonga

Atashinda sana.

Tujikaze kufika

Atetewe sana.

Ushindi ni hakika,

Zawadi ni yao

Waliojaribiwa,

Na waaminifu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki