Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 49
  • Mungu Mkuu, Yehova!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mungu Mkuu, Yehova!
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova, Nguvu Zetu na Uweza Wetu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Zaburi—Yaliyomo
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Mpe Yehova Utukufu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • O Enda Pamoja na Mungu!
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 49

Wimbo 49

Mungu Mkuu, Yehova!

(Zaburi 95:3)

1. Mungu, Mukuu, Yah wa milele,

Twaimba sifa zako, Twapita njia zako.

U Baba yetu, pia Hakimu.

Daima tutakutolea jibu.

E Mungu, mwema, ndiyo uwe mwema.

Tusaidie tukuabudu.

Tuheshimu jina kulijulisha,

Na tukutumikie kwa uradhi.

Ndiwe Mu’mba, Mulinda Uzima.

Waleta mema yote.

2. Mungu, Mukuu, Mutakatifu,

Tunapata furaha, Kufanya kazi yako.

U Ngome yetu, watupa nguvu.

Twakutumai kwa moyo, akili.

E Mungu, una nguvu ndiyo nguvu.

Ukitulinda hatutakosa.

Na tulijulishe kusudi lako.

Na kukuabudu wewe, pekee.

U ngome yetu, na Ngao yetu,

Tutumaini wewe.

3. Mungu, Mukuu, na Muchungaji,

unatujali sana, Wajali mambo yetu.

U Muokozi, na Mukombozi.

Twakufikia kwa sala daima.

E Mungu u mwema ndiyo u mwema.

Tunakujia kufarijiwa.

Jina lako ni bora, na tuone

Ukiwa ukusudiacho kuwa.

Ewe Yehova, Mungu wa juu,

Ndiwe Mungu pekee.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki