Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 62
  • Wenye Furaha, Warehemifu!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wenye Furaha, Warehemifu!
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Wenye Furaha ni Walio na Rehema
    Mwimbieni Yehova
  • ‘Baba Yenu Ni Mwenye Rehema’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Tunamtumikia Mungu Aliye “Tajiri Katika Rehema”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • “Wenye Furaha Ni Walio na Rehema! ”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 62

Wimbo 62

Wenye Furaha, Warehemifu!

(Mathayo 5:7)

1. Wa furaha wa rehema!

Mungu aona wazuri.

Wenye haki waambiwa

Mungu anawarehemu.

Zilionyeshwa Kalvari,

Ukombozi ’katolewa.

Mungu huwapa wapole,

Ajua sisi dhaifu.

2. Wa rehema wa baraka;

Dhambi anawasamehe.

Wanafaidika kwani

Yesu anawatetea.

Wanashiriki rehema,

Kwa kulihubiri Neno,

Kwa kusema: “Furahini

Kwani Ufalme u hapa.”

3. Wa rehema hawahofu

Mahakama yake Mungu;

Watajulishwa rehema,

Kwa kuwa wanarehemu.

Na tuwe wenye rehema

Tuonyeshe sifa hiyo.

Kutumia kila pindi

Kumwiga Mungu Mbinguni.

(UBETI WA MWISHO)

Wa furaha wa rehema!

Mungu aona wazuri.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki