Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 125
  • “Wenye Furaha Ni Walio na Rehema! ”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Wenye Furaha Ni Walio na Rehema! ”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Wenye Furaha, Warehemifu!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Wenye Furaha ni Walio na Rehema
    Mwimbieni Yehova
  • ‘Baba Yenu Ni Mwenye Rehema’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Tunamtumikia Mungu Aliye “Tajiri Katika Rehema”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 125

WIMBO NA. 125

“Wenye Furaha Ni Wale Wenye Rehema!”

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 5:7)

  1. 1. Mungu ni mwenye rehema!

    Hurehemu kwa kupenda.

    Hupendezwa na fadhili.

    Huturuzuku daima,

    Tunapotubu twajua,

    Husikia dua zetu.

    Anajua tu dhaifu,

    Naye anaturehemu.

  2. 2. Na tunapohuzunika,

    Tumkoseapo Mungu.

    Kristo alitufundisha

    Tusali kwake Yehova:

    ‘Tusamehe dhambi zetu,

    Tusamehevyo wengine.’

    Mambo yatakuwa sawa,

    Nasi tuwe na amani.

  3. 3. Tunaporehemu watu

    Tuonyeshe ukarimu.

    Hatutafuti pongezi,

    Bali kwa moyo mweupe.

    Mungu aonaye vyote,

    Huona rehema zetu.

    Waonyeshao rehema,

    Wanampendeza Mungu.

(Ona pia Mt. 6:​2-4, 12-14.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki