Wimbo 83
Sababu ya Kufurahi kwa Sayuni
1. Mungu ana taifa;
Lililozaliwa.
“Inchi” ikazaliwa
Kusiwe huzuni.
Sayuni wa mbinguni
Amezaa Wana
Wengi wakatangaza
Jina la Yehova.
(Korasi)
2. Uzawa wa taifa
Umefurahisha.
Latumikia ’Falme
Na latunza kundi.
Watoto wa Sayuni
Wanatii Neno.
Wahubiri wafunza.
Hawaogopi kamwe.
(Korasi)
3. Mungu kuyatikisa
Mataifa yote
Wanaotamanika
Waenda Sayuni.
Ni pendeleo lao
Kumusifu Mungu,
Wanamwabudu yeye,
Waita jinake.
(KORASI)
Furahi pamoja na Sayuni!
Yehova anamupenda sana!
Wana wake chini ni ishara,
na wala mezani pa Yehova. va.