Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 136
  • Waabudu Washikamanifu Wambariki Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Waabudu Washikamanifu Wambariki Yehova
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Washikamanifu Wako Watakubariki
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Imba Wimbo wa Uchangamshi wa Ufalme
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Washikamanifu Sikuzote
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Washikamanifu Sikuzote
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 136

Wimbo 136

Waabudu Washikamanifu Wambariki Yehova

(Zaburi 18:25)

1. Washikamanifu Na wakubariki;

Utufanikishe Ukipenda.

Wastahili sifa; Njia zako njema.

Kwa ushikamani Twatumika.

2. Tunakuheshimu —Asante zizidi

Tunajihadhari Kwa usafi.

E tusaidie Tukuze imani.

Ewe Bwana tuwe Kamilifu.

3. Tupe ufahamu Wa kusudi lako

Ambalo wakuza Wewe sana.

Tuonyeshe wema, Na tusianguke.

E tusikilize, Kila siku.

4. Ewe Baba yetu, Utusaidie,

Ili tutangaze Jina lako.

Tuwe na amani, Tukusifu wewe

Duniani kote, Usifike.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki