Wimbo 202
Sisi Tu Wakfu kwa Mungu!
1. Yehova ametuvuta kwake Kristo.
Alitutumia ukweli.
Kutoka mbinguni
Nuru imeng’aa.
Imani ’mezidi
Tumejikana Wenyewe.
Sisi tu wakfu kwa Mungu. Tumetaka.
Twamufurahia na Mwana.
2. Na walioamua wamezoezwa;
Ni wahudumu wa Yehova.
Waimba pamoja
Wimbo wa Ufalme,
Kama jeshi moja,
Kwa kuwa ni wa Yehova.
Wameonyesha hivyo kwa ubatizo;
Na wanahubiri Ufalme.
3. Yehova na atimize ombi letu
La kutaka dhamiri safi.
Tuna shangwe kubwa
Sana ya kubeba
Jina la Yehova.
Twaweza kusali kwake.
Sisi tu wakfu kwa Mungu; kwa hekima
Tuthamini ’simamo huo.