Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 204
  • “Mimi Hapa, Nitume Mimi”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mimi Hapa, Nitume Mimi”
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi”
    Mwimbieni Yehova
  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi! ”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 204

Wimbo 204

“Mimi Hapa, Nitume Mimi”

(Isaya 6:8)

1. Leo watu hulisuta

Jina zuri lake Mungu.

Wasema Mungu dhaifu;

Wasema “Hakuna Mungu!”

Nani atalitetea?

Nani atasifu Mungu?

“Mimi hapa, N’tume mimi.

Nikwimbie sifa zako;

(Korasi)

2. Wacheka anakawia;

Hawajui kumwogopa.

Sanamu huziabudu;

Kaisari wamwabudu.

Nani ataonya mwovu?

Juu ya vita ya Mungu?

“Mimi hapa, N’tume mimi.

Mimi nitatoa onyo;

(Korasi)

3. Leo wapole hulia;

Kwani maovu yazidi.

Kwa unyofu watafuta

Ukweli wenye amani.

Nani atawafariji?

Waone uadilifu?

“Mimi hapa, N’tume mimi.

Nitawafunza wapole;

(KORASI)

Ni heshima kubwa zaidi.

Mimi hapa, nitume.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki