Wimbo 212
Asante, Yehova
1. Asante, Yehova siku kwa siku,
Kwa kutupa nuru ya thamani.
Asante kwa pendeleo la sala,
Twaweza kukujia na shida.
2. Asante, Yehova, kwa Mwana wako.
Alishinda kifo na Hadesi.
Twapiga asante kwa uongozi,
Hivyo twazitimiza nadhiri.
3. Asante, Yehova, kwa udugetu,
Tupatapo wenzetu wa kweli.
Asante kwa kutupa roho yako,
Yatusaidia mwendo wetu.
4. Asante, Mungu wetu, kwa heshima
Kuhubiri jina lako kubwa.
Asante ole zote zitakwisha,
Baraka za ‘Falme za milele.