Sehemu 2
Kupata Ujuzi Sahihi juu ya Neno la Mungu na Kuutumia
Itikadi za Mashahidi wa Yehova zilisitawije? Wao walipataje jina lao? Ni nini kinachowatofautisha na vikundi vinginevyo vya kidini? Maswali hayo yanajibiwa katika Sura ya 10 hadi 14.
[Picha katika ukurasa wa 118]