Sehemu 5
Kuhubiri Ufalme Kwasogezwa Mbele na Kutokezwa kwa Fasihi za Biblia
Kuhubiri katika dunia yote inayokaliwa—huko kungetimizwaje? Kama vile kata hii (Sura ya 25 hadi 27) inavyoonyesha, njia zinazotumiwa zimetia ndani kusitawishwa kwa vifaa katika nchi nyingi kwa ajili ya kuchapa Biblia na fasihi za Biblia ili kufikia watu wa mataifa yote.
[Picha katika ukurasa wa 554]