Sehemu 7
Watu Walio Wake Kipekee
Kwa nini Mashahidi wa Yehova huamini kwamba wao wanaongozwa na Mungu? Ni nini kinachowatambulisha kuwa wanafunzi wa kweli wa Yesu Kristo? Kw akuwa wao hupiga mbiu kwamba Ufalmwe wa Mungu tayari unatawala kutoka mbinguni, ni tukio gani kubwa jingine wanalotazamia kwa hamu? Kata hii ya mwisho (Sura ya 31 hadi 33)yajibu maswali hayo.
[Picha katika ukurasa wa 702]