Sehemu ya 1
‘Njoo Umwone’ Kristo
Yesu aliishi akiwa binadamu miaka 2,000 hivi iliyopita, hata hivyo, bado tunaweza ‘kumwona’ Mwana wa Mungu leo. (Yohana 1:46) Masimulizi ya Injili yanafunua wazi utu, mitazamo, na njia zake. Sehemu hii itazungumzia sifa za pekee za Yesu.