Sehemu ya 2
‘Kufundisha na Kuhubiri Habari Njema’
Seremala. Mfanya-miujiza. Mponyaji. Yesu alikuwa yote hayo, na mengine mengi. Hata hivyo, watu hawakumwita kwa majina hayo. Walimwita Mwalimu. Ndiyo, kazi yake kuu ilikuwa ‘kufundisha na kuhubiri habari njema.’ (Mathayo 4:23) Tukiwa wafuasi wa Yesu, sisi pia tunapaswa kufanya kazi hiyo. Katika sehemu hii, tutajifunza mfano wake tunaoweza kufuata.