Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • bt uku. 84
  • “Waliotumwa na Roho Takatifu”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Waliotumwa na Roho Takatifu”
  • “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
  • Habari Zinazolingana
  • “Mmejaza Yerusalemu Fundisho Lenu”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
  • Bidii ya Umisionari—Alama ya Wakristo wa Kweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • “Akiwahubiria Ufalme wa Mungu . . . Bila Kizuizi”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
  • “Turudi Tukawatembelee Akina Ndugu”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
Pata Habari Zaidi
“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
bt uku. 84
Barnaba akitupwa nje ya jiji la Antiokia ya Pisidia na wapinzani wenye hasira.

SEHEMU YA 4 • MATENDO 13:1–14:28

“Waliotumwa Na Roho Takatifu”

MATENDO 13:4

Katika sehemu hii, tutachunguza safari ya kwanza ya umishonari ya mtume Paulo. Mtume huyo aliteswa katika jiji moja baada ya lingine. Hata hivyo, akiongozwa na roho takatifu, aliendelea kutoa ushahidi, na kuanzisha makutaniko mapya. Masimulizi hayo yenye kusisimua yatatuchochea kuwa na bidii hata zaidi katika huduma yetu.

Mashahidi wa Yehova nchini Kanada wakifuatwa na kikundi cha watu wenye hasira na wanaotishia usalama wao mwaka wa 1945.
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki