Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 17
  • Songeni Mbele, Enyi Mashahidi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Songeni Mbele, Enyi Mashahidi
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Songeni Mbele, Enyi Mashahidi!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Haya Mbele, Enyi Mashahidi!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Songeni Mbele, Enyi Wahudumu wa Ufalme!
    Mwimbieni Yehova
  • Songeni Mbele, Tangazeni Ufalme!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 17

Wimbo Na. 17

Songeni Mbele, Enyi Mashahidi!

Makala Iliyochapishwa

(Luka 16:16)

1. Watu wa Mungu wameazimia,

Kazi ya kuhubiri itatimia.

Shetani akiwavamia,

Kwa nguvu za Mungu wavumilia.

(KORASI)

Haya tusonge mbele Ee Mashahidi!

Kufanya kazi ya Mungu na tuzidi!

Yaja Paradiso aliyoahidi,

Yehova Mungu tumuhimidi.

2. Askari wa Yehova wanakesha.

Ulimwengu hautawatetemesha.

Na madoa wajiepusha.

Utimilifu wetu twadumisha.

(KORASI)

Haya tusonge mbele Ee Mashahidi!

Kufanya kazi ya Mungu na tuzidi!

Yaja Paradiso aliyoahidi,

Yehova Mungu tumuhimidi.

3. Enzi ya Mungu yadharauliwa.

Jina lake kuu limechafuliwa.

Karibuni litasifiwa.

Mbele za wote litatambulishwa.

(KORASI)

Haya tusonge mbele Ee Mashahidi!

Kufanya kazi ya Mungu na tuzidi!

Yaja Paradiso aliyoahidi,

Yehova Mungu tumuhimidi.

(Ona pia Flp. 1:7; 2 Tim. 2:3, 4; Yak. 1:27.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki