Wimbo Na. 18
Upendo Mshikamanifu wa Mungu
Makala Iliyochapishwa
1. Mungu ni upendo!
Kasukumwa na upendo,
Akamutuma mwanaye,
Afe kwa ajili yetu,
Ili tuwe wa’dilifu,
Na tupate tumaini.
(KORASI)
Ee! Nyote wenye kiu,
Njo’ni muyanywe maji.
Ndiyo, njo’ni muone,
Fadhili za Mungu.
2. Mungu ni upendo!
Kazi zake zaonyesha.
Katuonyesha upendo,
Kwa kumutawaza Kristo
Alitimize agano.
Ufalme umezaliwa.
(KORASI)
Ee! Nyote wenye kiu,
Njo’ni muyanywe maji.
Ndiyo, njo’ni muone,
Fadhili za Mungu.
3. Mungu ni upendo!
Na upendo wake Mungu.
Utusukume tupende.
Tusaidie wapole,
Bila woga tuhubiri,
Watu wote tufariji.
(KORASI)
Ee! Nyote wenye kiu,
Njo’ni muyanywe maji.
Ndiyo, njo’ni muone,
Fadhili za Mungu.
(Ona pia Zab. 33:5; 57:10; Efe. 1:7.)