Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 18
  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Upendo Mshikamanifu wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 18

Wimbo Na. 18

Upendo Mshikamanifu wa Mungu

Makala Iliyochapishwa

(Isaya 55:1-3)

1. Mungu ni upendo!

Kasukumwa na upendo,

Akamutuma mwanaye,

Afe kwa ajili yetu,

Ili tuwe wa’dilifu,

Na tupate tumaini.

(KORASI)

Ee! Nyote wenye kiu,

Njo’ni muyanywe maji.

Ndiyo, njo’ni muone,

Fadhili za Mungu.

2. Mungu ni upendo!

Kazi zake zaonyesha.

Katuonyesha upendo,

Kwa kumutawaza Kristo

Alitimize agano.

Ufalme umezaliwa.

(KORASI)

Ee! Nyote wenye kiu,

Njo’ni muyanywe maji.

Ndiyo, njo’ni muone,

Fadhili za Mungu.

3. Mungu ni upendo!

Na upendo wake Mungu.

Utusukume tupende.

Tusaidie wapole,

Bila woga tuhubiri,

Watu wote tufariji.

(KORASI)

Ee! Nyote wenye kiu,

Njo’ni muyanywe maji.

Ndiyo, njo’ni muone,

Fadhili za Mungu.

(Ona pia Zab. 33:5; 57:10; Efe. 1:7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki