Wimbo Na. 5
Kristo, Mfano Wetu
Makala Iliyochapishwa
1. Yehova ni mwema, Na mwenye rehema.
Katoa Mwana kwa ajili yetu.
Akawa mukate, Kusudi tupate
Kwishi milele, kwa shangwe tele.
2. Kristo katufunza, Jinsi ya kusali.
Baba mbinguni, jina litakaswe.
Ufalme na uje, Mapenzi yafanywe.
Tupe mukate, wetu wa leo.
3. Kweli alifunza, Naye kawatunza.
Wafwasi wake na kondoo zake.
Nasi tukisifu, Mungu kila siku.
Tutakuwa na shangwe daima.
(Ona pia Mt. 6:9-11; Yoh. 3:16; 6:31-51; Efe. 5:2.)