Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 50
  • Mungu—Kielelezo cha Upendo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mungu—Kielelezo cha Upendo
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kiolezo cha Kimungu cha Upendo
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mungu​—⁠Kielelezo cha Upendo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Usiruhusu Upendo Wako Upoe
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Mpende Mungu Anayekupenda
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 50
Makala Iliyochapishwa

Wimbo Na. 50

Mungu—Kielelezo cha Upendo

(1 Yohana 4:19)

1. Yehova Mungu, ni kielelezo.

Tumwige,

Tumwige.

Atuongoza, kwa upendo wake.

Tusishindwe,

Tusishindwe.

Tuifuate, njia yake Mungu.

Tutende mema; Tupendeze Mungu.

Watu wa Mungu, tuwe na umoja.

Kwa upendo,

Ndiyo upendo.

2. Tupende ndugu, zetu wa kiroho,

Kikweli,

Kikweli.

Tuwe tayari, kuwasaidia,

Kwa lolote,

Kwa lolote.

Tuwasamehe, watukoseapo.

Tukiwapenda,Twamwiga Yehova,

Kwa kuonyesha, upendo mwororo.

Tuwapende,

Tupende ndugu.

3. Kupenda Mungu kunatuchochea,

Daima,

Daima.

Tujitolee, kufanya mapenzi,

Ya Yehova;

Ya Yehova.

Tulitangaze, jina Lake kuu,

Kwa watu wote, wamujue yeye.

Tupendezwe na utumishi wake.

Ndilo pendo,

Pendo la kweli.

(Ona pia Rom. 12:10; Efe. 4:3; 2 Pet. 1:7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki