Wimbo Na. 40
Endeleeni Kuutafuta Kwanza Ufalme
Makala Iliyochapishwa
1. Ufalme wa Kristo Yesu,
Utakaotawala,
Ni wenye thamani sana,
Mbele zake Yehova.
(KORASI)
Tafuta Ufalme kwanza,
Uadilifu pia.
Mwimbieni Mungu sifa,
Na kumutumikia.
2. Musihangaike sana,
Juu ya njaa, kiu.
Mungu ataturuzuku,
Tukimutanguliza.
(KORASI)
Tafuta Ufalme kwanza,
Uadilifu pia.
Mwimbieni Mungu sifa,
Na kumutumikia.
3. Ufalme utangazeni;
Saidieni watu,
Wamutumaini Mungu,
Na utawala wake.
(KORASI)
Tafuta Ufalme kwanza,
Uadilifu pia.
Mwimbieni Mungu sifa,
Na kumutumikia.
(Ona pia Zab. 27:14; Mt. 6:34; 10:11, 13; 1 Pet. 1:21.)