Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb kur. 174-175
  • Utangulizi wa Sehemu ya 12

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 12
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Yesu Anatufundisha Kusali
    Kumsikiliza Mwalimu Mkuu
  • Kuhusu Sala Ambazo Mungu Anasikiliza
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • “Bwana, Tufundishe Jinsi ya Kusali”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2020
Pata Habari Zaidi
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb kur. 174-175
Yesu akiwafundisha watu wazima na watoto

Utangulizi wa Sehemu ya 12

Yesu aliwafundisha watu kuhusu Ufalme wa mbinguni. Pia aliwafundisha kusali jina la Mungu litakaswe, Ufalme wake uje, na mapenzi yake yatendeke duniani. Ikiwa wewe ni mzazi, mweleze mtoto wako sala hiyo inamaanisha nini kwetu. Yesu hakumruhusu Shetani avunje ushikamanifu wake. Yesu aliwachagua mitume wake, nao wakawa washiriki wa kwanza wa Ufalme huo wakitimiza kusudi muhimu. Ona jinsi Yesu alivyokuwa na bidii kwa ajili ya ibada safi. Kwa kuwa alitaka kuwasaidia watu, Yesu aliponya wagonjwa, akalisha wenye njaa, na hata akawafanya watu wawe hai tena. Kupitia miujiza hiyo yote, alionyesha kile ambacho Ufalme utawafanyia wanadamu.

MAMBO MAKUU

  • Yesu aliwapa wafuasi wake kazi ya kuhubiri kuhusu Ufalme na kufanya wanafunzi

  • Sali kuhusu mambo yanayomhusu Yehova kabla ya kusali kuhusu mambo yako ya kibinafsi

  • Samehe kwa hiari kutoka moyoni, na uwatendee wengine kama unavyotaka wakutendee

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki