Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 3
  • Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Jina Lako Ni Yehova
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Jina Lako Ni Yehova
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Mali ya Pekee
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 3

WIMBO NA. 3

Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu

Makala Iliyochapishwa

(Methali 14:26)

  1. 1. Yehova umetupatia

    tumaini bora.

    Latusisimua sana,

    tutalitangaza.

    Mahangaiko ya maisha,

    hutufanya tuhofu.

    Nalo tumaini letu

    Linadhoofika.

    (KORASI)

    Tumaini, nguvu,

    na uhakika;

    zatoka kwako Yehova.

    Ili tuhubiri

    kwa uhakika,

    twakutegemea wewe.

  2. 2. Ichochee mioyo yetu,

    tusikusahau.

    Watufariji daima,

    tunapolemewa.

    Kutafakari wema wako,

    kunatuimarisha.

    Tuwajulishe wengine

    jina lako kuu.

    (KORASI)

    Tumaini, nguvu,

    na uhakika;

    zatoka kwako Yehova.

    Ili tuhubiri

    kwa uhakika,

    twakutegemea wewe.

(Ona pia Zab. 72:​13, 14; Met. 3:​5, 6, 26; Yer. 17:7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki