Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • snnw wimbo na. 152
  • Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu
  • Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Habari Zinazolingana
  • Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Jina Lako Ni Yehova
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Mali ya Pekee
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Wewe Unahisije?
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
snnw wimbo na. 152

Wimbo Na. 152

Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu

Makala Iliyochapishwa

(Methali 14:26)

  1. Ee Yehova watupatia

    tumaini bora.

    Tunatangazia watu

    tumaini hilo.

    Mahangaiko maishani

    hufanya tuogope,

    Hivyo tumaini letu

    laweza fifia.

    (KORASI)

    Tumaini, nguvu,

    na uhakika.

    Watoka kwako Yehova.

    Ili tuhubiri

    kwa uhakika,

    twakutegemea wewe.

  2. Ee Yehova mioyo yetu

    isikusahau,

    Unatufariji kila

    tunapolemewa.

    Kutafakari jambo hilo

    kunatuimarisha,

    Tutangaze kote jina

    lako bila woga.

    (KORASI)

    Tumaini, nguvu,

    na uhakika.

    Watoka kwako Yehova.

    Ili tuhubiri

    kwa uhakika,

    twakutegemea wewe.

(Ona pia Zab. 72:13, 14; Met. 3:5, 6, 26; Yer. 17:7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki